Showing posts with label Mamadou Sakho. Show all posts
Showing posts with label Mamadou Sakho. Show all posts

Thursday, 27 October 2016

LIVERPOOL FC: MAMADOU SAKHO REDY TO LEAVE ANFIELD


Mamadou Sakho has failed to make it in the regular 1st team and as a result he is ready to depart in January...The 26 year old has been shut out of the 1st team squad by Jurgen Klopp since refusing to leave the club...

Saturday, 9 July 2016

LIVERPOOL: MAMADOU SAKHO HANA HATIA




Mamadou Sakho amekutwa hana hatia ya kutumia madawa ya kuongeza nguvu...Sakho mwenye umri wa miaka 26 alifungiwa kucheza kwa muda wa Sikh 30 kwa kutumia kitu wanaita 'fat burner' au kitu cha kupunguza mafuta lakini wakagundua inaruhusiwa kutumia kwa kiasi...Sakho amesema amefurahi hana hatia na yuko tayari kurudi kwenye timu...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 23 April 2016

LIVERPOOL: MAMADOU SAKHO APATIKANA NA HATIA YA KUTUMIA MADAWA YALIYOPIGWA MARUFUKU


Habari zilizoingia hizi punde tu ni kuwa mchezaji maarufu na anayetegemewa sana na Liverpool, Mamadou Sakho, amepatinana na hatia ya kutumia madawa ya kuunguza mafuta mwilini kwa kushindwa kufaulu vipimo maalum...Sakho sasa anachunguzwa na Uefa baada ya hii kitu kutokea...Sakho anayetokea Ufaransa anaumri wa miaka 26 na hatokuwepo wakati wa kuchagua timu kipindi cha michuano ya Euro...Sakho alitokea PSG kwa dau la £18 milioni na amechezea timu yake mechi 34 na 10 za Uefa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 21 April 2016

EPL: LIVERPOOL YATUPIA 4 KWENYE MECHI YA MERSEYSIDE DERBY


Liverpool FC wamefanikiwa kuwachapa wenzao Everton mechi ambayo ni derby mabao 4-0...Liverpool wanapata ushindi wa 3 mfululizo...Divock Origi ndiye aliyeanza kufungulia mabao akifuatiwa na Mamadou Sakho dakika chache badae...Kipindi cha 2 Sturridge alitupia bao na Coutinho alimalizia kwenye dakika 71...Everton walipunguzwa na kuwa 10 wakati Funes Moris alipotelewa kwa kusimama kwenye ankle ya Origi...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 15 April 2016

EUROPA LEAGUE 2016: LIVERPOOL YAIDUWAZA DORTMUND NA MASHABIKI WAKE


The Kop jana usiku paliwaka moto kwani Liverpool ilikuwa imeshajulikana inatolewa nje ya michuano ya Europa au 'Uefa ndogo' kwa msemo wa kitaa lakini la hasha...Kama umewahi kusikia timu inaitwa 'The Comeback Kings' basi jana hiko jina lilijulikana kama la Liverpool moja kwa moja...Mechi yao dhidi ya Dortmund haikuwa rahisi kabisa kwani Dortmund wamesimama na ndio walionza kufunga mabao...Liverpool mara 2 kwenye mechi hiyo walihitaji mabao matatu kufuzu...


Hali ilikuwa tete sana tena siku ambayo Liverpool walikuwa wanakumbuka miaka 27 iliyopita mashabiki 96 walipoteza maisha yao katika siku ya 'Hillsborough disaster'...Kabla mpira kuanza walitoa heshima kwa waliopoteza maisha kwa kukaa kimya kwa dakika 1...Dortmund walikuwa mbele mapema dakika ya 5 kupitia bao la Henrikh Mkhitaryan na muda mfupi badae Pierre-Emerick Aubameyang akapachika bao dakika ya 9...Mashabiki wakajua leo ndio bye bye lakini ngoma ikaendelea kuchezwa na Divock Origi aliwapa matumaini alipofunga baodakika ya 48...



Liverpool walianza kwa kushambuliwa sana na Dortmund ila badae waliweza kutulia na kucheza mpira wa maana...Reus wa Dortmund kwenye dakika ya 57 akapachika bao na kurudisha matumaini ya Liverpool nyuma....Dakika ya 60 Philippe Coutinho alifanikiwa kurudisha matumaini japi finyu lakini alibadelisha game...Dakika 10 baadda ya bao hilo Mamadou Sakho akapachika bao na sasa angalau matumaini yakarudi ingawa dakika zilikuwa zinayoyoma...


Dakika za lala salama umati wa the Kop uliruka juu kwa kushangilia sana baada ya bao la Dejan Lovren kutikisa nyavu....Kweli Liverpool imeshangaza hadi mashabiki kwa kuwa timu ambayo hata ikichapwa hurudisha mabao na kushinda...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 20 November 2013

WORLD CUP QUALIFIER: FRANCE BEATS UKRAINE


France is the first team from Europe to qualify for the World Cup after coming from 2 goals behind to beating Ukraine 3-2.