Showing posts with label Issa Hayatou. Show all posts
Showing posts with label Issa Hayatou. Show all posts

Thursday, 16 March 2017

CAF: ISSA HAYATOU OUSTED IN ADDIS ABABA


A new era in African football has begun as the prominent Issa Hayatou has had been ousted as the Confederation of African Football (CAF) president...

Thursday, 8 October 2015

FIFA: BLATTER NA PLATINI WASIMAMISHWA



Kamati ya nidhamu imewasimamisha Sepp Blatter, Michel Platini na Jerome Valcke kwa muda wa siku 90...Blatter ni rais wa FIFA, Platini ni makamu rais na Valcke ni katibu na wamesimamishwa kutokana na contract ambayo haikuisaidia FIFA na pia pesa kiasi cha milioni 1.32 pounds za Uingereza alizopokea Platini kutoka kwa Blatter...FIFA pia wamemsimamisha makamu rais wa zamani Chung-Mong joon miaka 6... 


Issa Hayatou ambaye ni rais wa CAF atakuwa rais wa muda wa FIFA na amesema hato ingia kwenye kinyanganyiro cha kutafuta rais mpya wa FIFA...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 10 November 2014

AFCON: MOROCCO WILL NOT HOTS CAF AFCON DUE TO FEAR OF EBOLA

Issa Hayatoue, President of CAF, talking to the press.
(Picha: AFP/Senna/Getty)


Morocco has refused to host Africa Cup of Nations due to fear of Ebola. 

Morocco minister of sports said they will not host the games in fear of the spread of Ebola in the country.

CAF  will meet in Cairo to discuss the next course of the tournament or wether to cancel the tournament for this year. 

atakutana Cairo kujadili hisi suala ambalo linaleta utata na wataamua wahamie nchi nyingine au wafute kabisa michuano hiyo kwa mwaka huu.

CAF will put sanctions on Morocco from their decision not to hot the games. 

Sunday, 10 November 2013

CAF: HAYATOU IS IN CAIRO READY FOR THE AFRICAN CHAMPIONS LEAGUE FINAL



CAF President, Issa Hayatou, is already in Cairo ready to watch the biggest game in Africa between Al Ahly and Orlando Pirates.