Showing posts with label Halo. Show all posts
Showing posts with label Halo. Show all posts

Thursday, 30 May 2019

F1: TEAM MERCEDES-BENZ TO KEEP NIKI LAUDA PERMANENTLY EMBEDDED ON THEIR RACE CARS


Mercedes will honour F1 Legend Niki Lauda by permanently keeping the red three-point star on the engine cover and facsimile Niki Lauda signature on the nose of the car...

Friday, 29 July 2016

F1: UZIO WA MAGARI YA F1 'HALO' KUTOTUMIKA MSIMU WA 2017


Ferrari na uongozi wa F1 walianza kutengeneza 'halo' au uzio wa magari ya F1 kuzuia magereva kuumia katika ajali lakini kuna upande wa Strategy Group ambayo inaongozwa na boss wa F1 Bernie Ecclestone wamepinga na kusogeza mbele mpango huo...Sasa mpango huo hautakuwepo msimu ujao na unaweza kuanza msimu wa 2018...


Madereva wengi wakiwemo Lewis Hamilton na Sebastian Vettel wamesema usalama wao ni muhimu zaidi na itabidi waongeze hiyo halo...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 1 July 2016

FERRARI: TEAM FERARRI KUJARIBISHA GARI LENYE UZIO KATIKA AUSTRALIAN GP PRACTICE


Ferrari watajaribu gari lenye uzio ambao utamsaidia dereva akipata ajali...Watajaribu gari yenye uzio mpya katika Australian GP leo...Shirikisho la Mashindano ya Magari FIA limetoa waraka kwa team kuwa mashindano ya mwaka 2017 magari lazima yabadilike kimtazamo...Madereva wengine hawakupenda kabisa uzio huo na kusema inawazuia kuona vizuri kalini FIA wanasema usalama kwanza ndio maana wanataka kubadilisha mtazamo wa magari...Bofya hapa upate habari zaidi.