Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Afrika ya Kusini. Show all posts
Showing posts with label Afrika ya Kusini. Show all posts
Sunday, 8 September 2019
Friday, 6 May 2016
Monday, 14 March 2016
ATHLETICS: WAYDE VAN NIEKERK KUTOKA AFRIKA YA KUSINI AWEKA REKODI MPYA KATIKA RIADHA
Wayde van Niekerk amekuwa mtu wa kwanza kukimbia chini ya sekunde 10 kwenye mita 100, sekunde 20 mita 200 na sekunde 44mita 400...Van Niekerk alitumia sekunde 9.98 katika mbio za mita 100 huko Bloemfontein ukijumlisha na sekunde 90.94 mita 200 na sekunde 43.48 mita 400 taji la dunia...Bofya hapa upate habari zaidi.
Wednesday, 26 August 2015
TFF: MAMELODI SUNDOWNS WAMEALIKWA KUCHEZA TANZANIA
Timu kubwa na mashuhuri ya Afrika ya Kusini Mamelodi Sundowns wamealikwa kuja Tanzania badae mwaka huu kucheza kwenye mashindano ya timu 4...Kocha wa Sundowns Pitso Mosimane aliwaambia Sport24 kwamba ni vizuri timu yake inacheza na timu kubwa kama TP Mazembe ambao pia wamealikwa kuja kucheza nchini Tanzania...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)



