Monday 12 May 2014

WORLD CUP 2014: ENGLAND YATAJA SQUAD




Kocha mkuu wa England hivi punde tu katoka kutangaza timu ya taifa ya England itakayo enda Brazil kwenye kombe la dunia...Amesema ametumia maamuzi magumu lakini ametoa kikosi safi cha wachezaji 23 ambao ni vijana zaidi...England wanaanza kampeni yao ya kuwania kombe la dunia na timu ya Italy huko Manaus tarehe 14 Juni pia badae watakutana na Uruguay na Costa Rica...Squad ya England hiyo hapo chini...



Goalkeepers: Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Bromwich Albion), Joe Hart (Manchester City).
Defenders: Leighton Baines (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Phil Jagielka (Everton), Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchester United), Luke Shaw (Southampton), Chris Smalling (Manchester United).
Midfielders: Ross Barkley (Everton), Steven Gerrard (Liverpool), Jordan Henderson (Liverpool), Adam Lallana (Southampton), Frank Lampard (Chelsea), James Milner (Manchester City), Alex Oxlade-Chamberlain (Arsenal), Raheem Sterling (Liverpool), Jack Wilshere (Arsenal).
Attackers: Rickie Lambert (Southampton), Wayne Rooney (Manchester United), Daniel Sturridge (Liverpool), Danny Welbeck (Manchester United).
Standby: John Ruddy (Norwich City), Jon Flanagan (Liverpool), John Stones (Everton), Michael Carrick (Manchester United), Tom Cleverley (Manchester United), Andy Carroll (West Ham United), Jermain Defoe (Toronto FC).

No comments:

Post a Comment