Barcelona imepata kocha mpya...Luis Enrique kutoka Celta Vigo ambayo ilimaliza ya 9 kwenye ligi ya Spain....Luis sio mgeni kwa hii club ya Barca kwani toka 2008 mpaka 2011 alikuwa kocha wa timu B ya Barca...Pia aliwahi kuwa mchezaji wa Barca kipindi cha nyuma....Luis anachukua nafasi ya kocha Gerardo Martino baaada ya kukosa ubingwa mechi ya mwisho ambayo walicheza na mabingwa Atletico Madrid...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 20 May 2014
LA LIGA: LUIS ENRIQUE KOCHA MPYA BARCA
Barcelona imepata kocha mpya...Luis Enrique kutoka Celta Vigo ambayo ilimaliza ya 9 kwenye ligi ya Spain....Luis sio mgeni kwa hii club ya Barca kwani toka 2008 mpaka 2011 alikuwa kocha wa timu B ya Barca...Pia aliwahi kuwa mchezaji wa Barca kipindi cha nyuma....Luis anachukua nafasi ya kocha Gerardo Martino baaada ya kukosa ubingwa mechi ya mwisho ambayo walicheza na mabingwa Atletico Madrid...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment