Timu ya Judo ya Tanzania imefanya vizuri sana kwenye mashindanoya Afrika Mashariki na Kati ya Judo huko Nairobi, Kenya...Tanzania imeibuka mshindi wa hayo mashindano...Timu huyo ilipata medali za dhahabu 3, medali ya silver 1 na bronze 4...Max Sports inawapa hongera sana kwa ushindi huu...Bofya hapa usome zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 5 May 2014
JUDO: TIMU YA TANZANIA YAFANYA VIZURI
Timu ya Judo ya Tanzania imefanya vizuri sana kwenye mashindanoya Afrika Mashariki na Kati ya Judo huko Nairobi, Kenya...Tanzania imeibuka mshindi wa hayo mashindano...Timu huyo ilipata medali za dhahabu 3, medali ya silver 1 na bronze 4...Max Sports inawapa hongera sana kwa ushindi huu...Bofya hapa usome zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment