Showing posts with label World Anti-Doping Ageny. Show all posts
Showing posts with label World Anti-Doping Ageny. Show all posts

Wednesday, 6 April 2016

ATHLETICS: KENYA KARIBU WANAFUNGIWA KWA MAKOSA YANAYOHUSU UTUMIAJI WA DAWA ZA KUIONGEZA NGUVU


Kenya bado hawajipanga vyema kutatua masharti yaliyowekwa na taasisi cha kudhibiti na kuzuia madawa ya kulevya...Walipewa muda kutatua masharti na muda huo karibu unaisha kwa hiyo wanaweza kukosa Rio 2016...Kenya walihusishwa na matumizi hayo kwenye ripoti ambayo ilisema Urusi na Kenya wanatumia sana dawa na pia inahusishwa na rushwa...World Anti-Doping Agency wanakaa kikao kujadili suala la Kenya Jumanne ijayo na wanaweza wakatangaza Kenya haijafuata masharti ya Wada...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 12 February 2016

ATHLETICS: KENYA BADO KUPELEKA UTHIBITISHO MAMLAKA YA KUZUIA MADAWA YA KUONGEZA NGUVU


Kenya walitakiwa kukamilisha na kupeleka utetezi wa kuhusishwa na madawa ya kuongeza nguvu kwa Mamlaka ya Kuzuia Madawa ya Kuingeza Nguvu (World Anti-Doping Agency-WADA) lakini wamepitiliza muda waliopewa...Haya yote yamejitokeza baada ya kugundulika kuwa wanariadha wengi wanatumia haya madawa na pia kuna rushwa inahusika...WADA wamewapa Kenya miezi 2 kupeleka mwongozo wa sheria kuhusu kupambana na hili tatizo na wasipofanya hivyo watafungiwa...


Kuanzia mwaka huu wanariadha 18 wamefungiwa kutokana na kugundulika kutumia madawa ya kuongeza nguvu na mmoja kati ya hao ni maarufu sana anaitwa Rita Jeptoo ambae alishinda marathon ya Boston na Chicago...Bofya hapa upate habari zaidi.