Showing posts with label Suarez. Show all posts
Showing posts with label Suarez. Show all posts

Wednesday, 14 September 2016

CHAMPIONS LEAGUE: MESSI & COMPANY PUT 7 PAST CELTIC


Celtic were given their worst loss in European football by Barcelona with Lionell Messi getting his 6th hat-trick...All was not well for Celtic as the sublime Barca took them to school...The other Barca protegee Neymar Jr. also had a goal and 4 assists...Other goal scorers were Iniesta 1 goal and Suarez two goals...



Just for the sake of stats in two seasons together the trio, Messi, Neymar and Suarez have a total combined 254 goals and 120 assists...Barca with 72% possession and 10 shots on target against Celtics 2 just speaks volumes on how Celtic were merely doing nothing serious.

Wednesday, 6 April 2016

CHAMPIONS LEAGUE 2016: BARCELONA YATOKA NYUMA NA KUWACHAPA ATLETICO MADRID 2-1


Barcelona wameshinda mechi ambayo ilikuwa na tension toka mwanzo pamoja na vikumbo vingi...Atletico Madrid walianza kutingisha nyavu kupitia Fernando Torres lakini Torres alivyokuwa kichwa hewa akafanya ndivyo sivyo akalamba kadi ya 2 ya njano na kutolewa nje kabisa ya uwanja...Suarez ndie iliyewaokoa Barca kwa bao dakika ya 63 na dakika ya 74...Barca walichachamaa sana na kushambulia lango la Madrid mara kwa mara mithili ya nyuki wadogo...


Mabao yote ya Barca walikuwa yameenda shule kwani gonga hatari zilitembea na kuwaacha Atletico kutoa macho tu...Kinachowapa moyo Atletico Madrid ni bao la ugenini ambalo litawasaidia wakirudiana...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 15 February 2016

LA LIGA: TAP PENALTY YAFURAHISHA MASHABIKI WA SOKA DUNIANI


"Tap penalty" ni penalty ambayo wengi katika ulimwengu wa soka hawaijui lakini Messi na Suarez alionyesha ulimwengu jinsi penalty hiyo inavyogongwa...Penalty hiyo ni kwamba mpigaji anaugusa mpira mara moja na mchezaji mwingine anamalizia...Messi alikuwa apige hiyo penaly lakini aliu "tap" mpira ukasogea kidogo na Suarez akapachika wavuni na kukamilisha hat-trick yake...


Tap-Penalty inahistoria yake toka mwaka 1957 katika mechi ya Belgium na Iceland na ingawa haitumiki sana ni penalty moja matata sana ila kuipatia ni issue...Barcelona walishinda 6-1 dhidi ya Celta Vigo na mechi ilijaa mbwembwe na ufanisi wa hali ya juu sana...Bofya hapa upate historia ya tap penalties.

Thursday, 28 January 2016

COPA DEL REY: BARCELONA NDANI YA NUSU FAINALI



Bacelona wanafukuzia vikombe 5 msimu na kimoja wapo wanachokitaka ni Copa del Rey...Athletic Bilbao walichapwa 3-1 na kuwaingiza Barca nusu fainali...Barca walishangazwa mapema baada ya Inaki Williams kupachika bao dakika ya 12...Suarez alisawazisha mapema kipindi cha 2 na mabao mengine walikuwa badae kwenye dakika ya 81 na 90+1 kupitia Pique na Neymar...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 18 December 2015

FIFA CLUB WORLD CUP: BARCA NDANI YA FAINALI



Hat-trick ya Luis Suarez imewaingiza Barcelona ndani ya fainali ya Fifa Club World Cup...Barca waliwachapa Guangzhou Evergrande 3-0 bina Neymar na Messi ndani...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 25 November 2015

CHAMPIONS LEAGUE: BARCELONA YAIRARUA ROMA 6-1


Lionel Messi amefanikiwa kupata mabao mawili baada ya kuwa nje kwa muda...Luis Suarez nae alipachika mabao mawili na kuifanya Barcelona kushinda mabao 6-1 na kushinda group yao...


Wafungaji walikuwa Suarez dakika ya 15, Messi dakika ya 18, Suarez dakika ya 44, Gerard Pique dakika ya 56, Messi dakika ya 61 na Carlo Adriano dakika ya 77...


Kwa upande wa Roma Edin Dzeko alipata bao la kufuta machozi dakika ya 90 +1:03...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 16 December 2013

EPL: TOTTENHAM DESTROYED BY MIGHTY LIVERPOOL



Tottenham was destroyed by Liverpool leaving them dumbfounded. Livepool was on fire with Suarez leading the battle that ended up 5-0.