Showing posts with label Springbok. Show all posts
Showing posts with label Springbok. Show all posts

Sunday, 6 August 2023

NIENABAR ADNITS SPRINGBOK WORLD CUP SQUAD SELECTION WILL BE TOUGH

Reuters 

South Africa coach Jacques Nienaber faces a difficult few days as he finalises his 33-man Rugby World Cup squad after admitting several fringe players put themselves in contention for selection ahead of Tuesday’s announcement.

Constant chopping and changing has been a feature of Springbok sides this season as Nienaber cast his net wide.

This was again evident in the 24-13 win over Argentina in Buenos Aires on Saturday when they fielded almost an entirely new team from the one that beat the Pumas in Johannesburg the week before.

Thursday, 8 October 2015

RUGBY WORLD CUP 2015: HABANA AFIKIA REKODI YA LOMU YA 15 TRIES


Bryan Habana amefikia rekoti ya kufunga ya Jonah Lomu ya tries 15...Habana aliweza kupata hat-trick kwenye game ambayo South Africa waliwagaragaza vibaya Marekani...Springbok sasa wanaongoza Pool B walikwa na points 16 wakufuatiwa na Scotland wenye points 10...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 4 October 2015

RUGBY WORLD CUP 2015: SOUTH AFRICA WANANGUVU KULIKO SCOTLAND


Timu ya taifa ya Raga ya South Africa au kwa jina maarufu sana Springboks sasa wanaongoza Pool B baada ya kuwachapa Scotland kirahisi mabao 34-16...JP Pietersen na Bismarck du Plessis walikuwa hatari sana na Boks walishambulia Scotland kama Simba...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 27 September 2015

RUGBY WORLD CUP: CAPTAIN WA SOUTH AFRICA NJE



Captain wa timu ya taifa ya Raga ya South Afrika, Jean De Villiers, hatoweza kucheza tena wenye World Cup kutokana na kuvunjika mfupa unaoshika meno...Captain huyo aliumia kwenye mechi yao dhidi ya Samoa ambayo walishinda 46-6...Ni pigo kubwa sana kwa Springbok lakini wamejipanga kuendelea na mapambano bila De Villiers...Bofya hapa upate habari zaidi.