Showing posts with label Mitchy Batshuayi. Show all posts
Showing posts with label Mitchy Batshuayi. Show all posts

Thursday, 30 June 2016

CHELSEA FC: MITCHY NDANI YA STAMFORD BRIDGE


Mchezaji hatari wa timu ya taifa ya Belgium na Marseille, Mitchy Batshuayi, tayari amekamilisha taratibu za usajili za kuingia Stamford Bridge...Mitchy amechukuliwa kwa dau la Pound milioni 33...Kwa sasa taratibu za kuangalia afya yake zimekamilika vizuri na yuko France tayari kucheza mechi za robo fainali zinazoanza leo usiku saa 4...Belgium wanatarajiwa kucheza kesho dhidi ya Wales...Bofya hapa upate bahari zaidi.

Wednesday, 29 June 2016

CHELSEA: MITCHY WA BELGIUM KARIBU ANAINGIA STAMFORD BRIDGE


Chelsea wako karibu kumnyakua kifaa cha Belgium na Marseille Mitchy Batshuayi...Chelsea wako tayari kutoa Pounds milioni 33 kumchuku Mitchy...Timu nyingi zikiwemo West Ham united na Juventus wamepigwa chini kwa dau lao dogo na Crystal Palace walikubaliwa kwa milioni 31.6 lakini Chelsea wamapanda dau na kutoa offer ya milioni 33...Mitchy anaeza kuwa usajili wa kwanza wakati Conte anaingia darajani...Dogo huyo mwenye umri wa miaka 22 alipata mabao 17 msimu uliopita na alitoka benchi na kuifungia timu yake ya taifa Euro 2016...Bofya hapa upate habari zaidi.