Showing posts with label MMSC. Show all posts
Showing posts with label MMSC. Show all posts

Monday, 23 May 2016

ALLIANCE MMSC RALLY 2016 KHAN ATETEA TAJI LAKE


Jamil Khan amewapita madereva 20 na kutetea taji lake...Rally ilikuwa ngumu na yakusisimua na ilichukua siku 2 mitaa ya Bagamoyo...Khan alikuwa na navigator mahiri Maisam Fazal ndani ya Subaru N12....Mkali wa Rally Dharam Pandya hakuwa mbali na alimpa kazi Khan kutumia akili za ziada kwani Pandya alimpumulia sana Jhan mwanzo mwisho ndani ya kilometa zote 250...Wengine waliojitahidi ni Gupal Sandu ambae aliibuka mshindi wa 3  na Salim Haji mshindi wa 4....Mshindi wa 5 alikuwa Harinder Singh akiwa na Moses Matovu...Bofya hapa upate habari zaidi

Thursday, 19 May 2016

ALLIAENCE MMSC RALLY 2016: MKUU WA MKOA DAR-ES-SALAAM PAUL MAKONDA ATAFUNGUA RALLY JUMAMOSI IJAYO


Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam, Paul Makonda, atafungua rasmi mashindano makali ya mbio za magari aina ya Rally Jumamosi...Mashindano hayo yataanza kwenye hoteli ya Southern Sun...Allience Rally ni mzunguko wa 2 wa National Rally Championship...Waandaji wa Alliance Rally ni Mzizima Motor Sports Club (MMSC)...


Mwenyekiti wa Club, Hidaya Kamanga, amemshukuru Mkuu wa Mkoa kukubali kuzindua hayo mashindano Jumamosi...Hidaya amesema kanda 5 za Tanzania zitashiriki na pia wageni kutoka Zambia, Kenya na Uganda watashiriki...Bofya hapa upate habari zaidi.