Showing posts with label Jose Peseiro. Show all posts
Showing posts with label Jose Peseiro. Show all posts

Friday, 26 February 2016

EGYPT: MARTIN JOL KOCHA MPYA AL AHALY


Kocha wa zamani wa Tottenham na Fulham Martin Jol amechaguliwa kuwa kocha wa timu kubwa huko Egypt ya Al Ahly...Jol amechukua kiti cha Jose Peseiro ambae ameenda Porto...Kwa sasa timu kubwa zenye upinzani mkubwa sana Al Ahly na Zamalek zina makocha wapya...Al Ahly sasa wanaongoza ligi wakifuatiwa na mabingwa wa mwaka jana Zamalek....Bofya hapa upate habari zaidi.