Showing posts with label Guus Hiddink. Show all posts
Showing posts with label Guus Hiddink. Show all posts

Sunday, 17 January 2016

EPL: MARTINEZ AMEKASIRIKA SANA BAO LA OFFSIDE LA TERRY


Roberto Martinez amekasirika Chelsea kubebwa walipopewa bao la offside kupitia John Terry...Game ya jana dhidi ya Everton ilikuwa kali sana na dakika za nyongeza zilikuwa za utata na ndipo Chelsea walipoponea...Martinez amesema anasikia hasira sana kuhusu bao la offside pia amesema refa ametenda makosa mawili, moja ni la kuongeza dakika 7 na la pili ni bao la offside...Inasemekana kocha wa muda wa Chelsea Guus aliongea na mwamuzi wa 4 ili muda uongezwe...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 19 December 2015

CHELSEA: GUUS HIDDINK BOSS MPYA CHELSEA



Chelsea wamepata kocha mpya wa kubadilisha mambo ndani darajaji...Guus Hiddink mwenye umri wa miaka 69 ataipeleka timu mpaka mwisho wa msimu...Amesema anaipenda Chelsea na kwa kuwa Chelsea ni moja ya timu kubwa duniani haistahili kukaa hapo ilipo...Kwenye game ya leo atakaa juu kwenye viti vya watazamaji akiwa na mmiliki wa timu Roman Abramovich...Bofya hapa upate habari zaidi.