Showing posts with label Dar es Salaam Gymkhana Club. Show all posts
Showing posts with label Dar es Salaam Gymkhana Club. Show all posts

Thursday, 4 February 2016

CRICKET: DCC YATANGAZA MABADILIKO YA KIDOGO YA MASHINDANO YA T20


Mmoja wa waandaaji wa mashindano ya T20 ya Cricket, Muzahir Patel, amesema mechi kati ya Aces Strikers na Jain Singh haitofanyika tena Leaders Club na badala yake itakuwa mechi ya AKSC watachuana na Eleven Nights...Mechi ya 2 Jumamosi itafanyika Annadil Burhan Oval baina ya St. Gobain A na Union A...mechi hizo zitaongozwa na mchezo wa Overs 20...Jumapili mambo yataendelea kama yalivyo pangwa kwenye viwanja vya Leaders Club, Annadil Burhan Oval na Gymkhana Club...Bofya hapa upate ratiba kamili.

Thursday, 12 November 2015

SQUASH: HATA UKIWA NA MIAKA 80 UNAWEZA KUCHEZA SQUASH


Squash ni mchezo ssafi sana kwa afya ya binadamu na unachezwa ndani ya kuta nne pamoja na racket na kipira kidogo...Mzee Kanali mstaafu Ameen Kashimiri aliamua kusherehekea miaka 80 ya maisha yake huku akicheza Squash pale Dar es Salaam Gymkhana Club...Mzee Kashimiri ni mchezaji wa Squash wa siku nyingi sana na pia amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tanzania Squash Racket Association nchini na Makamu Mwenyekiti wa Club ya Gymkhana...


Amesema kucheza Squash ni muhimu sana kwa afya yake na pia ameamua kusherehekea miaka 80 kuinyesha kuna maisha mbele ya miaka 80 ukifanya mazoezi mara kwa mara...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 8 June 2014

GOLF: LIBAN NEWA; MTANZANIA MKALI SANA KATIKA MCHEZO WA GOLF MAREKANI


Liban Newa alizaliwa huko Nairobi mwaka 1969 na kuhamia Dar es Salaam mwka 1977...Alianza kucheza Golf akiwa na miaka 13 katika Club ya michezo ya Gymkhana...

Friday, 15 November 2013