Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the ๐
Showing posts with label Alexandre Pato. Show all posts
Showing posts with label Alexandre Pato. Show all posts
Sunday, 14 June 2026
Thursday, 25 September 2025
Saturday, 30 January 2016
CHELSEA: PATO AINGIA DARAJINI RASMI KWA MKOPO
Brazilian stiker Alexandre Pato katia timu darajani....Pato kaingia kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu...Kwa uzoefu amechezea nchi yake mara 27 na kufifungia mabao 10...Kwa hali Chelsea ilipo Pato atawasaidia angalau waweze kumaliza nafasi nzuri msimu huu...Bofya hapa upate habari zaidi.
Wednesday, 20 January 2016
CHELSEA: ALEXANDRE PATO MBIONI KUINGIA CHELSEA
Striker Alexandre Pato kutoka Brazil na pia ni forward wa timu ya Brazil yuko mbioni kuingia darajani baada ya kupewa ofa ya miaka 3 na Chelsea...Pato na watu wake walikutana na mmiliki wa Chelsea Roman Abramovic na mtaalam wa transfer Marina Granovskia Jumanne usiku...Chelsea wako tayari kupiga dili la bei poa na club ya Pato ya Corinthians...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)

.jpg)

