Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label AIFF YOUTH CUP. Show all posts
Showing posts with label AIFF YOUTH CUP. Show all posts
Wednesday, 18 May 2016
AIFF YOUTH CUP: TANZANIA YAWACHAPA WENYEJI INDIA 3-1
Tanzania wamewagaragaza vibaya sana India katika michuano mikali ya vijana ya AIFF Youth Cup 2016 huko India...Tanzania tulishinda 3-1 na sasa tuna points 4 na India nao kwa ujumla wana point 1...Dakika ya 20 tu vijana walifanya mambo kwa kutumia mchezo wa akili na mipira ya juu kuwachanganya India...India walijichanganya sana midfield na vijana wetu wakawa na ball control safi kuzidi wenyeji...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 17 May 2016
AIFF YOUTH CUP 2016: TANZANIA YATOKA SARE NA USA
Timu kali ya Taifa ya vijana katoka Tanzania imepata kuwasimamisha Marekani katika michuano ya Vijana Youth Cup yanayoendelea huku Goa, India...Timu yetu ya U-17 imejitahidi sana kwani mechi ya kwanza walipangiea timu ngumu lakini kwa umahiri wao waliweza kuwakabili wamarekani na katoka draw...Mapema dakika ya 3 Tanzania tulikuwa chini bao 1 katoka kwa Akitokea...Dakika ya 15 kupitia Rashid Abdallah bao lilisawazishwa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)

