Friday 3 June 2016

UGANDA: MELVYN LORENZEN BADO HAJAAMUA KUICHEZEA UGANDA


Mchezaji wa Werder Bremen, Melvyn Lorenzen, hajaamua kama  ataichezea timu yake ya nyumbani ...Inamaanisha atakosa mechi ya Uganda dhidi ya Botswana kwenye mchuano wa African Cup of Nations...Afisa habari wa FA ya Uganda, Ahmed  Hussein, amesema uamuzi rasmi utakuja baada ya mechi na Botswana Jumamosi ijayo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment