Monday 4 April 2016

ICC WORLD TWENTY20 FINALS: WEST INDIES WAWACHAPA ENGLAND NA KUBEBA KOMBE KWA MARA YA 2


West Indies wameweka historia baada ya kuchukua ubingwa wa Cricket duniani wa Tewnty20 kwa mara ya 2...West Indies waliwachapa England kwa wickets 4 wakiwa ndani ya jiji la Kolkata...Kwa upande wa wanawake West Indies waliwachapa Australia...


Cricket T20 ilikuwa inaonekana haina issue kabisa lakini mwaka huu imesisimua mashabiki na kupata kuonekana katika sura mpya...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment