Yanga imemtoa Azam kileleni na kushika uskani baada ya kumchapa Coastal Union 1-0...Mechi ilikuwa kali sana na pande zote zilionesha makeke sana ndani ya uwanja wa Mkwakwani Tanga...Nadir Haroub ndie aliyefanikiwa kufunga bao pekee dakika ya 11...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 5 February 2015
VPL: YANGA YAONGOZA LIGI
Yanga imemtoa Azam kileleni na kushika uskani baada ya kumchapa Coastal Union 1-0...Mechi ilikuwa kali sana na pande zote zilionesha makeke sana ndani ya uwanja wa Mkwakwani Tanga...Nadir Haroub ndie aliyefanikiwa kufunga bao pekee dakika ya 11...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment