Dereva wa timu ya McLaren, Fernando Alonso, amenusurika kwenye ajali mbaya iliyotokea kwenye corner moja kali sana ya Circuit de Barcelona-Catalunya...Madaktari wanayo mtibu wamesema yuko poa na labda atalala hospitali kwa uchunguzi zaidi lakini yuko poa...Ajali imetokea akiwa anafanya jaribio la 3 la awali kabla ya msimu kuanza...Sebastian Vettel ambae amechukua nafasi ya Alonso kwenye timu ya Ferrari alikuwa nyuma yake wakati ajali inatokea...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 22 February 2015
F1: ALONSO ANUSURIKA BAADA YA AJALI MBAYA
Dereva wa timu ya McLaren, Fernando Alonso, amenusurika kwenye ajali mbaya iliyotokea kwenye corner moja kali sana ya Circuit de Barcelona-Catalunya...Madaktari wanayo mtibu wamesema yuko poa na labda atalala hospitali kwa uchunguzi zaidi lakini yuko poa...Ajali imetokea akiwa anafanya jaribio la 3 la awali kabla ya msimu kuanza...Sebastian Vettel ambae amechukua nafasi ya Alonso kwenye timu ya Ferrari alikuwa nyuma yake wakati ajali inatokea...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment