Ghana imetimua wachezaji wake wawili kwa utovu wa nidhamu...Wachezaji hao ni Kevin-Prince Boateng na Sully Muntari...Boateng amesimamishwa kwa lugha chafu dhidi ya kocha wao Appiah......Muntari amesimamishwa kwa kumuumiza Moses Armah mjumbe wa kamati ya timu hiyo....Woto wawili wamesimamishwa moja kwa moja kutokana vitendo vyao hivyo vya utovu wa nidhamu...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 26 June 2014
WORLD CUP 2014: GHANA YATIMUA WACHEZAJI WAKE WAWILI
Ghana imetimua wachezaji wake wawili kwa utovu wa nidhamu...Wachezaji hao ni Kevin-Prince Boateng na Sully Muntari...Boateng amesimamishwa kwa lugha chafu dhidi ya kocha wao Appiah......Muntari amesimamishwa kwa kumuumiza Moses Armah mjumbe wa kamati ya timu hiyo....Woto wawili wamesimamishwa moja kwa moja kutokana vitendo vyao hivyo vya utovu wa nidhamu...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment