Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 15 August 2016
RIO 2016: WAYDE VAN NIERKERK AVUNJA REKODI YA MICHAEL JOHNSON YA MIAKA 17
Wayde van Niekerk kutoka South Africa amevunja rekoda ya dunia ya mita 400 kwenye Olympics za Rio...Niekerk amevunja rekodi ya mmarekani Michael Johnson ambae imedumu kwa miaka 17...Niekerk ametumia muda wa sekunde 43:03 na ni sekunde 0:15 mbele ya muda wa Johnson...Bofya hapa upate babari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment