Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Saturday, 25 April 2015
Thursday, 23 April 2015
BOXING: MKANDA WA PAMBANO LA MAYWEATHER NA PAC-MAN UNAGHARAMA YA DOLA MILIONI 1
World Boxing Council (WBC) wamezindua mkanda wa pambano kali kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao tarehe 2 May huko Las Vegas Marekani...Rais wa WBC Maurusio Sulaiman akiwa na mabingwa wa zamani wa boxing Larry Home na Adonis Stevenson walizindua mkanda huo wenye gharama ya dola milioni 1...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 21 April 2015
ADIDAS PRIMEKNIT 2.0: SUAREZ NA WENGINE WACHACHE WATATINGA NA BUTI MPYA KABISA KUTOKA ADIDAS
Adidas wamtoa kifaa kipya kabisa chenye imahiri wa hali ya juu kabisa ambachi kina jina la Adidas primeknit 2.0...
Miongoni mwa wachezaji watakaovaa buti mpya leo kwenye mechi za Champions League ni Luis Suarez wa Barcelona, Lucas Moura na Ezequiel Lavezzi wa PSG...
Wengine ni Fabinho wa Monaco, Fernando Torres wa Atletico Madrid, Juan Bernat wa Bayern Munich, na Alvaro Morata wa Juventus...
Bofya hapa upate habari zaidi.
BOSTON MARATHON: WAAFRIKA WAFANYA KWELI BOSTON MARATHON
Boston Marathon ya mwaka huu kwa upande wa wanaume Lelisa Desisa kutoka Ethiopia na upande wa wanawake Caroline Rotich kutoka kenya wameibuka na ushindi jijini Boston...Desisa alikuwa mshindi mwaka jana masaa mawili tu kabla ya bomu kulipuka huko Boston...Desisa alitumia muda wa 2:09:17 na alivuka mstari wa ushindi dakika 30 mbele ya Yamane Adhane Tsegay....
Rotich alitumia muda wa 2:24:55 na alifukuzana mwishoni na Mare Dibaba mpaka akashinda...Waafrika walichukua nafasi nzuri kwenye top 10 za mashindan yote...Bofya hapa upate habari zaidi.
NBA: JIMMY BUTLER APATA CAREER HIGH NYINGINE NA KUISAIDIA BULLS USHINDI MWINGINE
Jimmy Butler amepata points 31 ambazo hajawahi kupata kwenye playoffs katika game yao ya 2 dhidi ya Milwaukee Bucks...Game ya kwanza alipata points 25 na sasa ameongeza mpaka 31 na points 14 kati ya hizo zilitoka kipindi cha 4...Derrick Rose nae alipata points 15 na zote zilitoka kipindi cha 2 wakati Paul Gasol akiata points 11 na rebounds 16...Game ya 3 itakuwa Alhamisi usikose...Bofya hapa upate habari zaidi.
Monday, 20 April 2015
CHAMPIONS LEAGUE: SCHEDULE (GMT)
TUE 21 APR 2015 - CHAMPIONS LEAGUE
- BarcelonavParis St G(agg 3 - 1)19:45
- Bayern MunvFC Porto(agg 1 - 3)19:45
- Real MadridvAtl Madrid(agg 0 - 0)19:45
- MonacovJuventus(agg 0 - 1)19:45
FA CUP: ASTON VILLA NDANI YA FAINALI ZA FA CUP NA ARSENAL
Aston Villa hawajawahi kufika FA Cup finals toka 2000 na hawajawahi kushinda toka 1957 kwahiyo wana nafasi ya kubadilisha vitabu vya historia...Bofya hapa upate habari zaidi.
MONTE CARLO MASTERS 2015: NOVAK DJOKOVIC BINGWA
YANGA: KOCHA ALALAMIKIA RATIBA YA MECHI CHANZO CHA DRAW
![]() |
| Kikosi cha Yanga (Picha:Shaffih Dauda) |
![]() |
| Bagdad akihangaika kumtoka Twite na Tambwe (Picha: Othman Michuzi) |
Sunday, 19 April 2015
F1: LEWIS HAMILTON ASHINDA BAHRAIN GP
EPL: CHELSEA YAZIDI KUSONGA MBELE
Boss wa Chelsea, Jose Mourinho, anawatania Man U eti wachezji wote wazuri wa Man wako mfukoni kwa Chelsea...Pamoja na Man U kuwa na mpira muda mwingi na chances nyingi bado gale ilikuwa ya Cheelsea...Bofya hapa upate habari zaidi.
Saturday, 18 April 2015
MONTE CARLO MASTERS 2015: DJOKOVIC KUKUTANA NA RAFA NUSU FAINALI
Bingwa wa dunia Novak Djokovic atakutana na Rafael Nadal kwenye nusu fainali ya michuano mikali ya Monte Carlo Masters...Djokovic limchapa bingwa wa US Open Marin Cilic 6-0 6-3 na alitumia dakika 63 tu kumaliza gamee...Nadal alipata shida kidogo kumchapa David Ferrer na alishinda 6-4 5-7 6-2 na mechi ilikuwa ya masaa 2 na dakika 45...Nadal amewahi kushinda mara 8 hapo Monte Carlo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 17 April 2015
EPL: RATIBA YA MECHI ZA WEEKEND (GMT)
SAT 18 APR 2015 - PREMIER LEAGUE
- Crystal PalacevWest Brom15:00
- EvertonvBurnley15:00
- LeicestervSwansea15:00
- StokevSouthampton15:00
- ChelseavMan Utd17:30
- Man CityvWest Ham13:30
- NewcastlevTottenham16:00
Thursday, 16 April 2015
EPL: MSIMAMO WA LIGI MPAKA SASA (GMT)
| Position | Team | Played | GoalDifference | Points |
|---|---|---|---|---|
| No movement1 | Chelsea | 31 | 38 | 73 |
| No movement2 | Arsenal | 32 | 31 | 66 |
| No movement3 | Man Utd | 32 | 29 | 65 |
| No movement4 | Man City | 32 | 31 | 61 |
| No movement5 | Liverpool | 32 | 11 | 57 |
| No movement6 | Southampton | 32 | 22 | 56 |
| No movement7 | Tottenham | 32 | 4 | 54 |
| No movement8 | Swansea | 32 | -2 | 47 |
| No movement9 | West Ham | 32 | 2 | 43 |
| No movement10 | Stoke | 32 | -4 | 43 |
| No movement11 | Crystal Palace | 32 | -1 | 42 |
| No movement12 | Everton | 32 | -3 | 38 |
| No movement13 | Newcastle | 32 | -18 | 35 |
| No movement14 | West Brom | 32 | -16 | 33 |
| No movement15 | Aston Villa | 33 | -21 | 32 |
| No movement16 | Sunderland | 32 | -23 | 29 |
| No movement17 | Hull | 32 | -16 | 28 |
| No movement18 | QPR | 33 | -21 | 26 |
| No movement19 | Burnley | 32 | -24 | 26 |
| No movement20 | Leicester | 31 | -19 | 25 |
Subscribe to:
Posts (Atom)


.jpg)
.jpg)
.jpg)











