COPA AMERICA: BRAZIL NJE
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjepJA3C-aDFAXPS2Eof-PXbE-hLujjZg0RwvZXweN3Y0Hz8hza-Uzimdu_AuXMnH8ZFVJh7wEyRW9zuGPDVuPx4FWHL3euLYbrs-gcR4vtnE0DxuRbQ3-J2FPIAODftMqwpjVaZ-vrzz0/s320/gonzales_penalty_getty.jpg) |
Gonzalez |
Brazil wametolewa kwenye Copa America na Paraguay kwenye matuta...Mchezaji wa zamani wa Manchester City Robinho aliwaweka mbele Brazil mapema dakika ya 15 lakini badaae kipindi cha 2 Thiago Silva alinawa mpira na Gonzalez alisawazisha bao la tuta...Brazil walifungwa 4-3 na kukumbusha mechi yao dhidi ya Paraguay mwaka 2011...Paraguay watacheza na Argentina tarehe 1 July...Bofya hapa upate habari zaidi.
No comments:
Post a Comment