Monday 8 August 2016

RIO 2016: MICHAEL PHELPS ASHINDA DHAHABU YA 19


Michael Phelps ameshinda medani yake ya 19 wakati timu US ilivoshinda mita 400 relay ya freestyle...Phelps amekuwa mwakilishi mzuri wa swiiming wa US na sasa ameweza kuongeza medani ya dhahabu kwenye collection yake...Toka Olympics za London 2012 Phepls alikutwa na mikasa kibao hapo kati na sasa amejipanga na kurusia hali yake ya ushindi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment