Friday 29 April 2016

REGIONAL U-20 ATHLETICS CHAMPIONSHIP: VIJANA KUCHUANA UWANJA WA TAIFA KUANZIA LEO


Mashindano ya riadha ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 yameanza leo Uwanja wa Taifa...Mashindano haya ni yakikanda na ni muhimu sana kwani wanariadha wanaweza kufuzu kwenda kwenye mashindano ya kimataifa ya IAAF Junior Championship Bydgoszcz nchini Poland kuanzia July 19 mpaka July 24...Nchi ambazo zitashiriki ni Djibouti, Rwanda, Eritrea, Kenya, Somalia, Sudan ya Kusini, Uganda, Sudan na Zanzibar...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment